HAVE FUN


YAANI WANAWAKE TU NDIO WENYE:

1. Atakua na simu kwa nyumba kidogo kidogo anakuambia umbeep ju hajui ameweka wapi!!😣😣

Tuhurumie BabaπŸ™πŸ™

2. Ako na furushi la nguo kwa nyumba lakini hanaga kitu ya kuvaa mkienda mahali!!😜😜

Tuonekanie BabaπŸ™πŸ™

3. Anakasirika ukikosa kumtumia text ya good nyt lakini yeye akikosa we unafaa ku understand!!πŸ˜’πŸ˜’

Waelewe BabaπŸ™πŸ™

4. Ako na viatu pair kama 50 lakini hanaga viatu za kuvaa akienda church!!😞😞

Mungu wasameheπŸ™πŸ™

5. Akianza kuvaa saa moja atamaliza saa tano na unafaa kumngoja hizo masaa zote!☺☺

si kupenda kwao BabaπŸ™πŸ™

6. Akienda salon anakaa kutoka asubuhi mpaka jioni na unafaa kumngoja pia na usilalamike!!🌚🌚

Tupe moyo BabaπŸ™πŸ™

7. Ako na mafuta different ya kujipaka mikono, shingo, kisogo miguu, mpaka kisigino!!😝😝
Mungu ni wewe uyajuaye hayaπŸ™πŸ™

8.Mnaachana asubuhi akiwa na furaha,na ukirudi jioni amenuna hataki hata kukusalamia,πŸ˜”πŸ˜”

tupe uvumilivu bwana.πŸ™πŸ™

9. Anatry kumatch nguo na earrings na akiona hazifanani anatoa nguo instead ya earrings....🌝🌝

teremka uwashike na mikono yako baba..πŸ™πŸ™

10.Mkitembea kwa rodi unakaa side ya baro ndo asigongwe na gari.wwe ukigongwa haina noma,πŸ˜₯πŸ˜₯

weka roho yetu mahali pema peponi baba.

πŸ˜‚πŸ’¦πŸ’¦
Thats a man complaining.

Comments